Muda mfupi auliopita treni imegongana na gari aina ya RAV4 na dereva (me)amekufa muda huu na abiria(ke) yu mahututi. ni vema kwa waendeshao magari wakawa makini wanapokatisha njia za reli.
Tuesday, May 28, 2013
TRENI YAUA UKONGA-MOSHI BAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mungu aiweke roho ya marenu mahali pema peponi
ReplyDelete